TAWI LA CCM CHINA
Edit Content

About Us

The Revolutionary Party (Chama Cha Mapinduzi- CCM) is the ruling political party in

Tanzania and is widely credited with playing a pivotal role in the nation's political and

economic development. Found-ed in 1977 following the merger of the Tanganyika African

National Union (TANU) and the Afro-Shirazi Party (ASP), the sole operating parties in

mainland Tanzania and the semi-autonomous islands of Zanzibar,respectively. The party was

established to replace the coalition of anti-colonial independence movements that had been

ruling the country since independence in 1961. Since then, CCM has been the dominant force

in Tanzanian politics,winning every election since its inception.

Contact Us

 Makabidhiano ya uongozi na ugawaji wa vyeti katika shina la Hunan

Shina la Hunan limefanya makabidhiano ya kiungozi baada ya viongozi waliyo pita kumaliza muda wao wa mwaka mmoja wa kulitumikia shina, viongozi waliyomaliza muda wao ni Mwenyekiti Ndg. BERNARD HAMENYA MANYAMA, Katibu Ndg. MUHAMED AMOUR FOUM na Mwenezi Bi. AWENA ABDISALAM ALI. Mwenyekiti anayemaliza muda wake aliweza kumkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mteule Ndg. HUSSEIN ALLY KANDURU. Sambamba na hilo vilevile Mwenyekiti wa tawi la CCM China Dr. MANINI DAUDI ROMANI aliweza kuwagawia vyeti vya pongezi kwa viongozi wote waliyomaliza muda wao na wanachama waliyo hitimu kwa ujumla.

Toa Maoni

Your email address will not be published. Required fields are marked *

[an error occurred while processing the directive]